Wednesday, September 7, 2016

MAALIM SEFU NA PROFESA LIPUMBA  (WOTE WALIMU KWA KIARABU NA KIFARANSA)


Hali ya chama cha wananchi (CUF) kuwa katika hali isiyoeleweka kunatia  wasi wasi juu ya uimara wa chama hicho kikiwa kama miongoni mwa vyama Vya upinzania vyenye nguvu nchini Tanzania.

Monday, September 5, 2016

HABARI ZA HIJJA


Wizara ya habari za Dini nchin Saudia  imetangaza kuwa kwa kuwa  Tarehe  Mosi Septemba Ndiyo siku iliyokuwa inategemea kuonekna mwezi mchanga  imetokea kukamatwa kwa jua na mwezi, itakuwa viguimu sana kuonekan mwezi. Na Hivyo  siku ya kuanza kuhesabu kuwa ni ya kwanza  Dhil Hija Au Mfungo  Tatu ni  hapo Jumamosi. Hivyo  Jumamosi  (sept3) Ndiyo itakuwa Tarehe  Mosiya Mfungo Tatu na Kisimamo cha Arafa kutakuwa Tarehe 11- Jumapili na Eid kuwa Jumatatu – Inshallah. Hilo ni tangazo la waziri wa mambo ya Dini  Septemba 1/ sawa na Dhul Qaadah 29.

KUKAMATWA KWA JUA


Dar es salaam
Septemba Mosi ni siku ambayo kwa jiji la Dar es Salaam, licha ya hali ya hewa kuwa na mawingu, maelfu ya watu walishuhudia kupatwa kwa juwa na hali kuwa kama vile  jua japo lipo lakini halina nguvu wala mwanga wake hauna nguvu kama.