Monday, September 5, 2016

HABARI ZA HIJJA


Wizara ya habari za Dini nchin Saudia  imetangaza kuwa kwa kuwa  Tarehe  Mosi Septemba Ndiyo siku iliyokuwa inategemea kuonekna mwezi mchanga  imetokea kukamatwa kwa jua na mwezi, itakuwa viguimu sana kuonekan mwezi. Na Hivyo  siku ya kuanza kuhesabu kuwa ni ya kwanza  Dhil Hija Au Mfungo  Tatu ni  hapo Jumamosi. Hivyo  Jumamosi  (sept3) Ndiyo itakuwa Tarehe  Mosiya Mfungo Tatu na Kisimamo cha Arafa kutakuwa Tarehe 11- Jumapili na Eid kuwa Jumatatu – Inshallah. Hilo ni tangazo la waziri wa mambo ya Dini  Septemba 1/ sawa na Dhul Qaadah 29.

No comments:

Post a Comment